Na upande wa kushoto ndugu zao, wana wa Merari; Ethani, mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki;
Na wa wana wa Bani; Meshulamu, na Maluki, na Adaya, na Yashubu, na Sheali, na Yeremothi.
na Benyamini, na Maluki, na Shemaria.
Hamshi, Shekania, Maluki;
Maluki, Harimu, na Baana.
wa Maluki, Yonathani; wa Shekania, Yusufu;