Wala ile mikate saba kwa watu elfu nne, na makanda mangapi mliyoyaokota?
Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayokushuhudia?
Na ile saba kuwapa wale elfu nne, mlichukua makanda mangapi yamejaa vipande? Wakamwambia, Saba.
Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!