Skip to Content

"marijani"

5 mara katika SUV

Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.

Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.

Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.

Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani.

Shamu alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa kazi za mkono wako walifanya biashara kwa zumaridi, na urujuani, na kazi ya taraza, na kitani safi, na marijani, na akiki, wapate vitu vyako vilivyouzwa.