Skip to Content

"masa"

7 mara katika SUV

na Mishma, na Duma, na Masa,

Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba; kwa sababu ya mateto ya wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu Bwana, wakisema, Je! Bwana yu kati yetu au sivyo?

Msimjaribu Bwana, Mungu wenu, kama mlivyomjaribu huko Masa.

Tena huko Tabera, na Masa, na Kibroth-hataava mlimtia Bwana hasira.

Akamnena Lawi, Thumimu yako na Urimu yako vina mtakatifu wako, Uliyemjaribu huko Masa; Ukateta naye kwenye maji ya Meriba.

na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;

Msifanye migumu mioyo yenu; Kama vile huko Meriba Kama siku ya Masa jangwani.