ila walikuwa na tupa za kunolea sululu, na miundu, na mauma, na mashoka; na kwa kuinoa michokoo.
Wanaonekana kama watu wainuao mashoka, Waikate miti ya msituni.
Na sasa nakishi yake yote pia Wanaivunja-vunja kwa mashoka na nyundo.
Sauti yake ni kama nyoka, wajapo kwa nguvu, Watamjia na mashoka, kama wachanja kuni.
Naye ataweka vyombo vyake vya kubomolea mbele za kuta zako, na kwa mashoka yake ataiangusha chini minara yako.