Skip to Content

"masihi"

32 mara katika SUV

Washindanao na Bwana watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; Bwana ataihukumu miisho ya dunia; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi

Nami nitajiinulia kuhani mwaminifu, atakayefanya sawasawa na mambo yote niliyo nayo katika moyo wangu, na katika nia yangu; nami nitamjengea nyumba iliyo imara; naye atakwenda mbele ya masihi

Nami nipo hapa; basi, mnishuhudie mbele za Bwana, na mbele ya masihi

Akawaambia, Bwana ni shahidi juu yenu, na masihi

Ikawa walipokuja, alimtazama Eliabu, akasema, Yakini masihi

Hasha! Nisiunyoshe mkono wangu juu ya masihi

Akawaambia watu wake, Hasha! Nisimtendee bwana wangu, masihi

Tazama, leo hivi macho yako yameona jinsi Bwana alivyokutia mikononi mwangu pangoni, na watu wengine wakaniambia nikuue; lakini nikakuacha; nikasema, Sitaki kuunyosha mkono wangu juu ya bwana wangu; kwa maana yeye ni masihi

Lakini Daudi akamwambia Abishai, Usimwangamize; kwani ni nani awezaye kuunyosha mkono wake juu ya masihi

Jambo hili ulilolitenda si jema. Aishivyo Bwana, mmestahili kufa, kwa sababu hamkumlinda bwana wenu, masihi*fq* wa Bwana. Haya basi! Tazameni, liko wapi fumo la mfalme, na gudulia la maji lililokuwa kichwani pake?

Naye Bwana atamlipa kila mtu haki yake, na uaminifu wake; maana Bwana amekutia mikononi mwangu leo, nami nalikataa kuunyosha mkono wangu juu ya masihi

Daudi akamwambia, Jinsi gani hukuogopa kuunyosha mkono wako umwangamize masihi

Daudi akamwambia, Damu yako na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe; maana umejishuhudia nafsi yako ukisema, Nimemwua masihi

Lakini Abishai, mwana wa Seruya, akajibu na kusema, Je! Shimei hatauawa kwa sababu hii, kwa kuwa amemlaani masihi

Ampa mfalme wake wokovu mkuu; Amfanyia fadhili masihi

Basi haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi. Daudi, mwana wa Yese, anena, Anena huyo mtu aliyeinuliwa juu, Yeye, masihi

Akisema, Msiwaguse masihi

Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya Bwana, Na juu ya masihi

Ampa mfalme wake wokovu mkuu, Amfanyia fadhili masihi

Bwana ni nguvu za watu wake, Naye ni ngome ya wokovu kwa masihi

Ee Mungu, ngao yetu, uangalie, Umtazame uso masihi

Walakini Wewe umemtupa na kumkataa, Umemghadhibikia masihi

Ambayo adui zako wamesimanga, Ee Bwana, Naam, wamezisimanga hatua za masihi

Akisema, Msiwaguse masihi

Kwa ajili ya Daudi, mtumishi wako, Usiurudishe nyuma uso wa masihi

Hapo nitamchipushia Daudi pembe, Na taa nimemtengenezea masihi

Haya ndiyo Bwana amwambiayo Koreshi, masihi

Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na handaki, naam, katika nyakati za taabu.

Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.

Ukatokea kwa ajili ya wokovu wa watu wako, Kwa ajili ya wokovu wa masihi

Huyo akamwona kwanza Simoni, ndugu yake mwenyewe, akamwambia, Tumemwona Masihi (maana yake, Kristo).

Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote.