Skip to Content

"matamu"

8 mara katika SUV

Naye akamlilia Bwana; Bwana akamwonyesha mti, naye akautia katika hayo maji, maji yakawa matamu. Basi akawawekea amri na hukumu huko, akawaonja huko;

Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.

Makadhi wao wakiangushwa kando ya genge, Watayasikia maneno yangu, maana ni matamu.

Tonge lile ulilokula utalitapika, Na maneno yako matamu yatakupotea.

Kama mpera kati ya miti ya msituni, Kadhalika mpendwa wangu kati ya vijana. Naliketi kivulini mwake kwa furaha, Na matunda yake naliyaonja kuwa matamu.

Jinsi yalivyo mazuri, yalivyo matamu, Mapenzi katikati ya anasa!

Je! Chemchemi katika jicho moja hutoa maji matamu na maji machungu?

Ndugu zangu, Je! Mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Kadhalika chemchemi haiwezi kutoa maji ya chumvi na maji matamu.