Basi Raheli alikuwa amevitwaa vile vinyago ameviweka katika matandiko ya ngamia, na kuvikalia. Labani akapapasa hema yote wala hakuviona.
Msiwe kama farasi wala nyumbu, Walio hawana akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.
Sitaingia hemani mwa nyumba yangu, Wala sitapanda matandiko ya kitanda changu;
Nimetandika kitanda changu, magodoro mazuri, Kwa matandiko ya Kimisri yenye mistari.