Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake.
Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa matengano kati yao.
Kukaingia tena matengano kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.
Watu hao ndio waletao matengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.