Tena mtoleeni kidogo katika matita na kukiacha, na akiokote, wala msimkataze.
Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matitamatita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.