na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
Mimi ni ndugu yao mbwa-mwitu, Ni mwenzao mbuni.
Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma?
Lakini huko watalala hayawani wakali wa nyikani; na nyumba zao zitajaa bundi; mbuni watakaa huko; na majini watacheza huko.
Miiba itamea majumbani mwake, upupu na mbigili ndani ya maboma yake; nayo itakuwa kao la mbweha, na ua la mbuni.
Wanyama wa kondeni wataniheshimu, mbweha pia na mbuni; kwa sababu nimewapa maji jangwani, na mito nyikani, ili kuwanywesha watu wangu, wateule wangu;
Kwa ajili ya hayo nitaomboleza na kulia, Nitakwenda nimevua nguo, ni uchi; Nitafanya mlio kama wa mbweha, Na maombolezo kama ya mbuni.