Skip to Content

"mdhamini"

4 mara katika SUV

Uwe mdhamini wa mtumishi wako, apate mema, Wenye kiburi wasinionee.

Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.

Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Naliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee Bwana, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.

basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.