Uwe mdhamini wa mtumishi wako, apate mema, Wenye kiburi wasinionee.
Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.
Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Naliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee Bwana, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.
basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.