Na baada yake kulikuwa na Shama, mwana wa Agee, Mharari; nao Wafilisti walikuwa wamekusanyika huko Lehi, palipokuwapo konde lililojaa midengu; nao watu wakawakimbia Wafilisti;
mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;
wana wa Yasheni Mgiloni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;
Ahiamu mwana wa Sharari Mharari, Elifeleti mwana wa Ahasbai; Heferi