Skip to Content

"mhubiri"

10 mara katika SUV

Maneno ya Mhubiri

Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.

Mimi, Mhubiri, nalikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.

Tazama, asema Mhubiri, mimi nimeyaona hayo kwa kulinganisha hili na hili, ili kuitafuta jumla;

Mhubiri asema, Ubatili mtupu; mambo yote ni ubatili!

Walakini, kwa sababu huyo Mhubiri alikuwa na hekima, aliendelea kuwafundisha watu maarifa, naam, akatafakari, akatafuta-tafuta, akatunga mithali nyingi.

Huyo Mhubiri akatafuta-tafuta ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.

Asubuhi yake tukaondoka, tukafika Kaisaria, tukaingia nyumbani mwa Filipo, mhubiri wa Injili, aliyekuwa mmoja wa wale saba, tukakaa kwake.

ambayo kwa ajili ya hiyo naliwekwa niwe mhubiri na mtume na mwalimu.

Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.