Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio; siku ya tatu tukawasili Samo, tukakaa Trogilio, siku ya nne tukafika Mileto.
Toka Mileto Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akawaita wazee wa kanisa.
Erasto alikaa Korintho. Trofimo nalimwacha huko Mileto, hawezi.