2 mara katika SUV
Naye Yesu alipokuwapo Bethania katika nyumba ya Simoni mkoma,
Naye alipokuwapo Bethania, nyumbani mwa Simoni mkoma, ameketi chakulani, alikuja mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya nardo safi ya thamani nyingi; akakivunja kibweta akaimimina kichwani pake.