Skip to Content

"mkosa"

3 mara katika SUV

Nitahukumiwa kuwa ni mkosa; Ya nini basi nitaabike bure?

Je! Atatawala mtu aichukiaye haki hata mmoja? Nawe, je! Utamhukumia mkosa aliye na haki na mwenye nguvu?

Tazama, Bwana MUNGU atanisaidia; ni nani atakayenihukumu kuwa mkosa? Tazama hao wote watachakaa kama vazi; nondo atawala.