Skip to Content

"mlipokuwa"

5 mara katika SUV

Kumbuka aliyokufanya Amaleki katika njia mlipokuwa mkitoka Misri;

Mlipokuwa watu wawezao kuhesabiwa; Naam, watu wachache na wageni ndani yake.

Kwa maana mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.

Mwajua ya kuwa mlipokuwa watu wa Mataifa, mlichukuliwa kufuata sanamu zisizonena, kama mlivyoongozwa.

Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote;