Skip to Content

"mpeni"

11 mara katika SUV

Maana nitalitangaza Jina la Bwana; Mpeni ukuu Mungu wetu.

Mpeni Bwana, enyi jamaa za watu, Mpeni Bwana utukufu na nguvu.

Mpeni Bwana utukufu wa jina lake; Leteni sadaka, mje mbele zake; Mwabuduni Bwana kwa uzuri wa utakatifu;

Mpeni Bwana, enyi jamaa za watu, Mpeni Bwana utukufu na nguvu.

Mpeni Bwana utukufu wa jina lake, Leteni sadaka mkaziingie nyua zake.

ambao aliwaambia, Hii ndiyo raha yenu, mpeni raha yeye aliyechoka; huku ndiko kuburudika; lakini hawakutaka kusikia.

Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.

Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu. Wakamstaajabia sana.

Akawaambia, Basi, vya Kaisari mpeni Kaisari, na vya Mungu mpeni Mungu.

Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.

Kwa kadiri alivyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo. Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.