Skip to Content

"mpotovu"

6 mara katika SUV

Kwake ajitakasaye utajionyesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionyesha kuwa mkaidi.

Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; Ingawa ni mkamilifu, kitanishuhudia kuwa ni mpotovu.

Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.

Kwani tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?

Kwamba huyo mpotovu asitawale, Pasiwe na wa kuwatega watu.

Kwake ajitakasaye utajionyesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionyesha kuwa mkaidi.