2 mara katika SUV
Samweli akawaambia, Msiogope; ni kweli mmeutenda uovu huu wote; lakini msigeuke na kuacha kumfuata Bwana, bali mtumikieni Bwana kwa mioyo yenu yote.
Wala msigeuke upande, maana, kufuata vitu vya ubatili,