Skip to Content

"msihukumu"

4 mara katika SUV

Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.

Basi msihukumu hukumu ya macho tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.

Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.