Skip to Content

"mtaangamia"

4 mara katika SUV

Nanyi mtaangamia kati ya mataifa, na nchi ya adui zenu itawameza.

Lakini itakuwa, kama ukimsahau Bwana, Mungu wako, na kuiandama miungu mingine, na kuitumikia na kuiabudu, nawashuhudia leo ya kuwa mtaangamia bila shaka.

Hapo mtakapolivunja agano la Bwana, Mungu wenu, alilowaamuru, na kwenda kuitumikia miungu mingine, na kujiinamisha mbele yao, ndipo hasira ya Bwana itakapowaka juu yenu, nanyi mtaangamia upesi katika nchi hii njema aliyowapa.

Lakini kama mkiendelea kutenda mabaya, mtaangamia, ninyi na mfalme wenu pia.