Skip to Content

"mtanitafuta"

4 mara katika SUV

Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.

Ni neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja?

Enyi watoto wadogo, bado kitambo kidogo nipo pamoja nanyi; mtanitafuta; na kama vile nilivyowaambia Wayahudi ya kwamba, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja; kadhalika sasa nawaambia ninyi.