Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.
Ni neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja?
Enyi watoto wadogo, bado kitambo kidogo nipo pamoja nanyi; mtanitafuta; na kama vile nilivyowaambia Wayahudi ya kwamba, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja; kadhalika sasa nawaambia ninyi.