Skip to Content

"mtauwa"

3 mara katika SUV

Bali jueni ya kuwa Bwana amejiteulia mtauwa; Bwana atasikia nimwitapo.

Kwa hiyo kila mtu mtauwa Akuombe wakati unapopatikana. Hakika maji makuu yafurikapo, Hayatamfikia yeye.

Lakini kwa mtu asiyefanya kazi, bali anamwamini yeye ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtauwa, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.