Lakini ukiisikiza sauti yake kweli, na kuyatenda yote ninenayo mimi; ndipo mimi nitakuwa ni adui wa adui zako, na mtesi wa hao wakutesao.
Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai.
Ambaye, nijapokuwa mimi ni mwenye haki, nisingemjibu; Ningemsihi-sihi mtesi wangu.
Amenirarua katika ghadhabu zake, na kunionea; Amesaga-saga meno juu yangu; Mtesi wangu hunikazia macho makali.
Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.
Ee Mungu, mtesi atalaumu hata lini? Adui alidharau jina lako hata milele?
Hawakuukumbuka mkono wake, Wala siku ile alipowakomboa na mtesi.
Akaziacha nguvu zake kutekwa, Na fahari yake mkononi mwa mtesi.
Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.