Skip to Content

"mwanathothi"

4 mara katika SUV

na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;

Mkubwa wao alikuwa Ahiezeri, kisha Yoashi, wana wa Shemaa Mgibeathi; na Yezieli, na Peleti, wana wa Azmawethi; na Beraka, na Yehu Mwanathothi;

Akida wa kenda wa mwezi wa kenda alikuwa Abiezeri, Mwanathothi, wa Wabenyamini; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.