Skip to Content

"naamini"

5 mara katika SUV

Naamini ya kuwa nitauona wema wa Bwana Katika nchi ya walio hai.

Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutokuamini kwangu.

Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.

Filipo akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu.]

Nami naamini katika Bwana ya kuwa nitakuja na mimi mwenyewe hivi karibu.