3 mara katika SUV
Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa.
Watu wa kusita-sita nawachukia, Lakini sheria yako naipenda.
Maana mimi, Bwana, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wivi na uovu; nami nitawalipa malipo katika kweli, nitaagana nao agano la milele.