3 mara katika SUV
Nakulilia wewe, wala huniitikii; Nasimama, nawe wanitazama tu.
Wewe, Bwana, unifadhili, Maana nakulilia Wewe mchana kutwa.
Ee Bwana, nakulilia wewe; Kwa maana moto umeyala malisho ya nyikani, Na miali ya moto imeteketeza miti yote ya mashamba.