Alipozithibitisha mbingu nalikuwako; Alipopiga duara katika uso wa bahari;
Nami naliona katika maono; ilitukia, nilipoona, nalikuwako huko Shushani ngomeni, katika wilaya ya Elamu; nikaona katika maono, nami nalikuwa karibu na mto Ulai.
Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na matetemeko mengi.