Skip to Content

"nawatafuta"

2 mara katika SUV

Akasema, Nawatafuta ndugu zangu; tafadhali uniambie mahali wanakochunga.

Tazama, hii ni mara ya tatu ya mimi kuwa tayari kuja kwenu, wala sitawalemea. Maana sivitafuti vitu vyenu, bali nawatafuta ninyi; maana haiwapasi watoto kuweka akiba kwa wazazi, bali wazazi kwa watoto.