Skip to Content

"niambieni"

4 mara katika SUV

Basi, kama mnataka kumfanyia rehema na kweli bwana wangu, niambieni kama sivyo, niambieni; ili nigeuke upande wa kuume au wa kushoto.

Lakini msiponijulisha ile ndoto, iko amri moja tu iwapasayo; maana mmepatana kusema maneno ya uongo, na maneno maovu, mbele yangu, hata zamani zitakapobadilika; basi niambieni ile ndoto, nami nitajua ya kuwa mwaweza kunionyesha tafsiri yake.

Akajibu akawaambia, Nami nitawauliza ninyi neno moja; niambieni,

Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?