2 mara katika SUV
Ndipo Sauli akamwambia Samweli, Nimefanya dhambi; maana nimeihalifu amri ya Bwana, pia na maneno yako; kwa sababu naliwaogopa wale watu, nikaitii sauti yao.
Wakati wa usiku nimelikumbuka jina lako, Ee Bwana, nikaitii sheria yako.