Skip to Content

"nikaitii"

2 mara katika SUV

Ndipo Sauli akamwambia Samweli, Nimefanya dhambi; maana nimeihalifu amri ya Bwana, pia na maneno yako; kwa sababu naliwaogopa wale watu, nikaitii sauti yao.

Wakati wa usiku nimelikumbuka jina lako, Ee Bwana, nikaitii sheria yako.