2 mara katika SUV
Nikawaamuru wakati huo mambo yote yaliyowapasa ninyi kuyafanya.
Nikawaamuru wakati huo, nikawaambia, Bwana, Mungu wenu, amewapa ninyi nchi hii mwimiliki, basi vukeni ng'ambo wenye silaha mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, nyote mlio mashujaa.