Skip to Content

"nikihuzunika"

3 mara katika SUV

Hata lini nifanye mashauri nafsini mwangu, Nikihuzunika moyoni mchana kutwa? Hata lini adui yangu atukuke juu yangu?

Nimepindika na kuinama sana, Mchana kutwa nimekwenda nikihuzunika.

Nitamwambia Mungu, mwamba wangu, Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?