2 mara katika SUV
Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.
Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.