Tena Bwana akamwambia Musa, Mimi nimewaona watu hawa, na tazama, ni watu wenye shingo ngumu
Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.
Nimewaona watendao uhaini nikachukizwa, Kwa sababu hawakulitii neno lako.
Nalifurahi mno kwa kuwa nimewaona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile tulivyopokea amri kwa Baba.