Bali kama mkinionyesha ile ndoto na tafsiri yake, nitawapa zawadi na thawabu na heshima nyingi; basi nionyesheni ile ndoto na tafsiri yake.
Nionyesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.
Nionyesheni dinari. Ina sura na anwani ya nani? Wakamjibu, Ya Kaisari.