Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, walakini hamyatendi nisemayo?
Ndugu zangu, nisemayo ni haya, ya kuwa nyama na damu haziwezi kuurithi ufalme wa Mungu; wala uharibifu kurithi kutokuharibika.
Yafahamu sana hayo nisemayo, kwa maana Bwana atakupa akili katika mambo yote.
Kwa kuwa nakuamini kutii kwako ndiyo maana nimekuandikia, nikijua ya kuwa utafanya zaidi ya hayo nisemayo.