Skip to Content

"nitahukumu"

3 mara katika SUV

Nitakapoufikia wakati ulioamriwa, Mimi nitahukumu hukumu za haki.

Kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU awaambia hivi; Tazama, mimi, naam, mimi, nitahukumu kati ya wanyama walionona na wanyama waliokonda.

basi mimi nitaliokoa kundi langu, wala hawatakuwa mateka tena; nami nitahukumu kati ya mnyama na mnyama.