Skip to Content

"nitakushukuru"

11 mara katika SUV

Basi, Bwana, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Basi, Bwana, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Ili utukufu wangu ukusifu, Wala usinyamaze. Ee Bwana, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.

Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.

Nitakushukuru milele kwa maana umetenda; Nitalingojea jina lako kwa kuwa ni jema; Mbele ya wacha Mungu wako.

Ee Bwana, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia zaburi kati ya mataifa.

Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo, Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.

Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana,

Na katika siku hiyo utasema, Ee Bwana, nitakushukuru wewe; Kwa kuwa ijapokuwa ulinikasirikia, Hasira yako imegeukia mbali, Nawe unanifariji moyo.

tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.