Basi, Bwana, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.
Nitafurahi na kukushangilia Wewe; Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.
Basi, Bwana, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.
tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.