2 mara katika SUV
Akasema, Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza jina la Bwana mbele yako; nami nitamfadhili yeye nitakayemfadhili; nitamrehemu yeye nitakayemrehemu.
Maana nitalitangaza Jina la Bwana; Mpeni ukuu Mungu wetu.