Skip to Content

"nitamwimbia"

5 mara katika SUV

Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia Bwana wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia Bwana, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.

Sikieni, enyi wafalme; tegeni masikio, enyi wakuu; Mimi, naam mimi, nitamwimbia Bwana; Nitamhimidi Bwana, Mungu wa Israeli.

Bali mimi nitatangaza matendo yako milele, Nitamwimbia Mungu wa Yakobo.

Nitamwimbia Bwana maadamu ninaishi; Nitamshangilia Mungu wangu nikiwa hai;

Nitamsifu Bwana muda ninaoishi, Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.