Skip to Content

"nitamwona"

3 mara katika SUV

Tena semeni, Tazama, mtumwa wako, Yakobo, yuko nyuma yetu. Maana alisema, Nitamsuluhisha kwa zawadi inayonitangulia, baadaye nitamwona uso wake; huenda atanikubali uso wangu.

Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;

Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine.