Skip to Content

"nitaokoka"

4 mara katika SUV

Ndipo Daudi aliposema moyoni mwake, Siku moja, basi, mimi nitaangamia kwa mkono wa Sauli; hakuna jema zaidi kwangu kuliko kukimbia mpaka nchi ya Wafilisti; naye Sauli atakata tamaa kwa habari yangu, asinitafute tena mipakani mwote mwa Israeli; hivyo nitaokoka katika mikono yake.

Nitamwita Bwana astahiliye kusifiwa; Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Nitamwita Bwana astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Uniponye, Ee Bwana, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.