Skip to Content

"nitawafundisha"

3 mara katika SUV

Nitawafundisha ninyi mambo ya mkono wa Mungu; Hayo yaliyo kwa Mwenyezi sitayaficha.

Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha Bwana.

Nitawafundisha wakosaji njia zako, Na wenye dhambi watarejea kwako.