3 mara katika SUV
Nitawafundisha ninyi mambo ya mkono wa Mungu; Hayo yaliyo kwa Mwenyezi sitayaficha.
Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha Bwana.
Nitawafundisha wakosaji njia zako, Na wenye dhambi watarejea kwako.