Skip to Content

"nitawapiga"

8 mara katika SUV

Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi Bwana.

nami nitawapiga, naam mimi, mara saba kwa ajili ya dhambi zenu.

Nitawapiga kwa tauni, na kuwaondolea urithi wao, nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, kisha yenye nguvu kuliko wao.

Nitaweka madhara juu yao chunguchungu; Nitawapiga kwa mishale yangu hata ikaishe;

Basi kama baba yangu aliwatwika kongwa zito, mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu akiwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa nge.

akinena, Baba yangu aliwafanyia kongwa zito, nami nitawaongezea; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa nge.

Nitawapiga-piga wasiweze kusimama, Wataanguka chini ya miguu yangu.

Bali nitawaponda watesi wake mbele yake, Nitawapiga wanaomchukia.