2 mara katika SUV
Nami nitawasafisha na uovu wao wote, ambao kwa huo wamenitenda dhambi; nami nitawasamehe maovu yao yote, ambayo kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu yangu.
Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.